MKAZI wa Mtaa wa Sawe, Kata ya Maisaka katika Halmashauri ya Mji wa Babati, mkoani Manyara, Yona Angres, amepoteza maisha, baada ya kudaiwa kunywa pombe nyingi za kienyeji kupita kiasi. Jana, Kamanda ...
Imeelezwa katika taarifa ya polisi kuwa watoto hao wamepatikana wakiwa kwa mganga wa kienyeji Kimara Baruti, jijini Dar es Salaam. Watoto hao, wakazi wa Tandika, jijini Dar es Salaam, ni Husna Gulam ...