Waziri wa Afya, Jenista Mhagama. Na WAF – Malawi Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wadau wa Sekta ya Afya imefanya ...
wekezaji wa shamba la VASSO lililopo Kijiji cha Dakau, Wilaya ya Moshi Vijijini, Fons Nijenhuis (73), raia wa Uholanzi, ...
Chama cha Wakunga Tanzania (TAMA) kwa kushirikiana na Serikali, UNFPA na Chama cha Wakunga Canada, wameandaa mafunzo maalumu ...
CHAMA Cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO) kimewataka wanachama wake kujipanga ...
Mratibu Taifa wa THRDC, Wakili Onesmo Olengurumwa, amesema leo Februari 10,2025 wanaoathirika zaidi ni wanufaika wa miradi hiyo inayogusa maisha ya Watanzania wengi.
Amesema hayo, leo Februari 10, 2025 wakati akijibu swali la Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo alieyetaka kujua ni lini ...
Katika kuhakikisha wanafunzi wa sekondari hawapati daraja nne na sifuri Mkoa wa Dar es Salaam umeweka mkakati wa kuhakikisha ...
Dk. Mapana alitoa wito huo, Februari 7, 2025, jijini Dar es Salaam, wakati akizindua Kamati Kuu ya Uendeshaji wa Tuzo za Muziki wa Injili Tanzania (Tanzania Gospel Music Awards – TMGA), akibainisha ...
Majadiliano na wadau hao wa Sekta ya utalii yaliwahusisha wawakilishi kutoka TAWA ambayo iliwakilishwa na Kamishna Msaidizi ...
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imekabidhi madawati 295 yenye thamani ya Sh millioni ...